Maandamano ya aina yake ndani ya Zanzibar!
Alhamisi tarehe 9 februari 2012
Hii ni fursa ya kipekee kwa wasanii, wageni wa kimataifa na watu wa Zanzibar kuungana na kusheherekea muziki kutoka sehemu mbalimbali ya Afrika Mashiriki.
Maandalizi ya maandamano huwa makubwa zaidi, yatakuwa na vikundi zaidi ya ishirini kutoka Zanzibar ikiwemo brass bands, sound systems, drummers, clowns, mwanandege, wachezaji, stilt-walkers, capoeira, fire eaters, wachezaji wa sarakasi na vyinginevyo.
Pamoja na hayo, ushiriki wa shule za Zanzibar, NGO’s na taasisi za serikali huitajika ili kuthibitisha mseto wa utamaduni na umoja uliopo Zanzibar nzima ukisheherekewa. |